Busara na
upole
Na hekima
niliyorithi kutoka kwa mama yangu, Mama Vyote hukuvijali, ukaona silingani
kabisa kuwa na wewe
Kwa kuti na mkole,
ukakata
kabisa na shina la penzi langu mama Eti kisa mali,
ukaona bora
uniache mimi na uolewe
Ile siku
shekhe namuona anachoma ubani
Unavishwa
pete unakua mke wa fulani
Nliumia
sanaa, sanaa
Ile siku
shekhe namuona anachoma ubani
Unavishwa
pete unakua mke wa fulani
Niliumia
sanaa, niliumia sanaa, sanaa
By: Diamond
Platnumz
Song: Mbagala

Comments
Post a Comment