Ulinipa donda ndugu
Donda ndugu ni gumu kupona
Ila siwezi sema sitopenda, nitamkufuru Mola
Unajua umenipa maumivu sugu
Maumivu sugu yasokwisha yote
Sababu ya kukupenda wee
Na sintochoka kukuombea kwa Mola
Akuzidishie baraka
Hata kukupenda wewe sichokiii
Najua kunipenda sio lazima
Siwezi kuijenga chuki
Maa’ke najua
Nilijipa imani mwenyewe ipo siku utanithamini
Ila haukuwa nafasi yangu wewe
Naamini haukuwa fungu langu
Aaah kungoja yote kwanini?!
Leo, moyo wangu naukanda mie!

By: Barakah Da Prince
Song: Siwezi

Comments